Karibu Net TAMADUNI: Watumiaji wa smartphones wakae tayari
kuipokea hii good news mtu wangu, kuwa na smarthphone ni raha kwa sababu
una uhakika wa kufanya mambo yako mengi sana kwa kupitia simu ya
mkononi tu, ishu ni pale ambapo simu hizo zinamaliza chaji haraka na
kujaa zinachukua muda pia.
Huenda tukasaidiwa kwa upande mwingine
mtu wangu, yani badala ya kusubiri simu yako kwenye chaji kwa saa mbili
au zaidi ili ijae, tumetangaziwa kwamba mambo yatabadilika any time
kuanzia sasahivi.